Numbers 13:1-6
Kupeleleza Kanaani
(Kumbukumbu 1:19-33)
1 Bwana akamwambia Musa, 2 a“Watume baadhi ya watu wakaipeleleze nchi ya Kanaani, ambayo ninawapa Waisraeli. Kutoka kwa kila kabila la baba zao, tuma mmoja wa viongozi wao.” 3 bHivyo kwa agizo la Bwana Musa akawatuma kutoka Jangwa la Parani. Wote walikuwa viongozi wa Waisraeli. 4Haya ndiyo majina yao: kutoka kabila la Reubeni, Shamua mwana wa Zakuri;5kutoka kabila la Simeoni, Shafati mwana wa Hori;
6 ckutoka kabila la Yuda, Kalebu mwana wa Yefune;
Copyright information for
SwhKC